Mohamed Salah akishangilia na mtokea benchi Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Salzburg kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Red Bull Arena mjini Wals-Siezenheim. Bao la kwanza lilifungwa na Naby Keita dakika ya 57 na kwa ushindi huo Liverpool inatinga hatua ya 16 Bora kama kinara wa kundi kwa pointi zake 13, ikifuatiwa na Napoli yenye pointi 12, Salzburg saba na Genk pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alix Earle responds to rumors she and Dolphins wideout Braxton Berrios
'broke up' after Coachella trip
-
Fans had been wondering what Earle's situation with Berrios was after she
attended the annual musical festival on her own last week. Earle and
Berrios star...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment