Mohamed Salah akishangilia na mtokea benchi Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Salzburg kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Red Bull Arena mjini Wals-Siezenheim. Bao la kwanza lilifungwa na Naby Keita dakika ya 57 na kwa ushindi huo Liverpool inatinga hatua ya 16 Bora kama kinara wa kundi kwa pointi zake 13, ikifuatiwa na Napoli yenye pointi 12, Salzburg saba na Genk pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roberto De Zerbi sends defiant message to relegation rivals West Ham after
Tottenham's first win in 118 days - but admits fears over Dominic Solanke
and Xavi Simons injuries
-
De Zerbi was not entirely satisfied with the performance at Wolves and
thought the long winless run ate away at confidence when his team failed to
capitali...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment