Mohamed Salah akishangilia na mtokea benchi Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Salzburg kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Red Bull Arena mjini Wals-Siezenheim. Bao la kwanza lilifungwa na Naby Keita dakika ya 57 na kwa ushindi huo Liverpool inatinga hatua ya 16 Bora kama kinara wa kundi kwa pointi zake 13, ikifuatiwa na Napoli yenye pointi 12, Salzburg saba na Genk pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thune says Senate to consider voting bill but pushes back on demands for
'talking filibuster'
-
WASHINGTON (AP) — Majority Leader John Thune said Tuesday that the Senate
will consider a bill to impose strict new proof-of-citizenship requirements
in el...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment