Mohamed Salah akishangilia na mtokea benchi Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Salzburg kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Red Bull Arena mjini Wals-Siezenheim. Bao la kwanza lilifungwa na Naby Keita dakika ya 57 na kwa ushindi huo Liverpool inatinga hatua ya 16 Bora kama kinara wa kundi kwa pointi zake 13, ikifuatiwa na Napoli yenye pointi 12, Salzburg saba na Genk pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FG schedules third South Africa evacuation flight for 271 Nigerians
-
The Federal Government has announced that the third evacuation flight for
Nigerians voluntarily returning from South Africa will arrive in Lagos on
Frida...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment