BARCELONA YALAZIMISHWA SARE 2-2 NA SOCIEDAD LA LIGA
Walinzi wa Barcelona wakielekea katikati kinyonge baada ya Alexander Isak kuisawazishia Real Sociedad dakika ya 62 katika sare ya 2-2 leo Uwanja wa Reale Arena mjini Donostia-San Sebastian. Bao la kwanza la Real Sociedad limefungwa na Mikel Oyarzabal kwa penalti dakika ya 12, wakati ya Barca yamefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 38 na Luis Suarez dakika ya 49PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kagame thanks organisers, delegates as CHOGM ends
-
President Paul Kagame has shared his thoughts on the organisation and
attendance of the just concluded 26th Commonwealth Heads of Government
Meeting (CHO...
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni