Kinda wa miaka 17 wa Guinea-Bissau Ansu Fati akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 86 ikiwalaza wenyeji, Inter Milan 2-1 katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan akiweka rekodi ya mchezaji mwenye mdogo zaidi kufunga kwenye michuano hiyo kihistoria. Bao la kwanza la Barca ambayo kwa ushindi huo inatinga hatua ya 16 Bora ikiungana naBorussia Dortmund, lilifungwa na Carles Perez dakika ya 23, wakati la wenyeji lilifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The most dramatic promotion ever! York City back in the EFL after
103rd-minute equaliser... breaking the hearts of Rochdale - who thought
their goal had won it just moments before and celebrated with a pitch
invasion
-
The pitch at the Crown Oil Arena had only just been cleared of Rochdale
fans celebrating what appeared to be another dramatic late winner by
Emmanuel Diese...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment