• HABARI MPYA

    Sunday, December 29, 2019

    DAVIS AMUANGUSHA MARA TATU GAMBOA NA KUMPIGA KWA TKO

    Bondia Mmarekani, Gervonta 'Tank' Davis (kushoto) akirejea kwenye kona yake baada ya kumuangusha Yuriorkis Gamboa (kulia) kwa mara ya tatu katika raundi ya 12 kabla ya refa Jack Reiss kumpa ushindi wa Technical Knockout (TKO) na kutwaa taji la WBA uzito wa Light Alfajiri ya leo ukumbi wa State Farm Arena Jijini Atlanta, Marekani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DAVIS AMUANGUSHA MARA TATU GAMBOA NA KUMPIGA KWA TKO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top