Kevin De Bruyne akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili kabla ya kufunga na la tatu dakika ya 40, kufuatia Raheem Sterling kufunga la pili dakika ya 15 katka ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Emirates mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘One of my outstanding ministers’ – Tinubu salutes Umahi on birthday
-
President Bola Tinubu has congratulated the Minister of Works, Engineer
David Umahi, as he marks his birthday on July 25, describing him as one of
the mo...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment