Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza Chelsea dakika ya 19 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lille kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Cesar Azpilicueta dakika ya 35, wakati la Lille lilifungwa na Loic Remy dakika ya 78 na kwa matokeo hayo, The Blues inaungana na Valencia kufuzu hatua ya 16 Bora baada ya wote kumaliza na pointi 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves 0-1 Tottenham: Spurs earn first victory of the year thanks to late
Joao Palhinha strike - but it's NOT enough to climb them out of the
relegation zone as West Ham win
-
Stop the clock. After 118 days and 15 games in the Premier League under
three different managers, Tottenham have done it.
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment