Mason Greenwood akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika ya 58 na 64 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya AZ Alkmaar kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usku huu Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yamefungwa naAshley Young dakika ya 53 na Juan Mata dakika ya 62 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea part company with their head groundsman after his 30-year tenure at the club
-
Chelsea have parted company with long-serving head groundsman Jason Griffin
plus his assistant and son Reisse. Griffin has been at Stamford Bridge for
over...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment