Mason Greenwood akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika ya 58 na 64 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya AZ Alkmaar kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usku huu Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yamefungwa naAshley Young dakika ya 53 na Juan Mata dakika ya 62 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment