Mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Ditram Nchimbi akiwa hoi baada ya mazoezi magumu gym mjini Dar es Salaam jana. Bado haifahamiki kama Ditram Nchimbi aliyesajiliwa kutoka Azam FC mwezi huu baada ya kufanya vizuri akicheza kwa mkopo Polisi Tanzania kama ataanza kucheza kesho, Yanga ikimenyana na Biashara United ya Musoma mkoani Mara kwenye mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Borno: How abductors killed my husband, molested me – Rescued victims
recount ordeal
-
Freed captives from Ngoshe community in Gwoza Local Government Area of
Borno State have recounted the pain, abuse and deprivation they suffered
during mo...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment