Katibu wa Yanga SC, David Luhago (kulia) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo beki wa kushoto, Adeyum Ahmad Suleiman baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili akitokea JKT Tanzania kufuatia kung'ara kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge akiwa na Zanzibar mjini Kampala nchini Uganda mwezi huu
‘One of my outstanding ministers’ – Tinubu salutes Umahi on birthday
-
President Bola Tinubu has congratulated the Minister of Works, Engineer
David Umahi, as he marks his birthday on July 25, describing him as one of
the mo...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment