• HABARI MPYA

    Wednesday, December 18, 2019

    YANGA SC YASAJILI BEKI WA JKT TANZANIA ALIYENG'ARA CHALLENGE KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI

    Katibu wa Yanga SC, David Luhago (kulia) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo beki wa kushoto, Adeyum Ahmad Suleiman baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili akitokea JKT Tanzania kufuatia kung'ara kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge akiwa na Zanzibar mjini Kampala nchini Uganda mwezi huu  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YASAJILI BEKI WA JKT TANZANIA ALIYENG'ARA CHALLENGE KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top