Dominic Calvert-Lewin akishangilia baada ya kuifungia Everton mabao mawili dakika ya 49 na 84 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park. Bao lingine la Everton limefungwa na Richarlison dakika ya tano, wakati la Chelsea limefungwa na Mateo Kovacic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
White House shooting won’t deter me from Iran war – Trump
-
United States President Donald Trump has insisted that the shooting
incident which disrupted the White House Correspondents’ Dinner will not
slow down hi...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment