Dominic Calvert-Lewin akishangilia baada ya kuifungia Everton mabao mawili dakika ya 49 na 84 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park. Bao lingine la Everton limefungwa na Richarlison dakika ya tano, wakati la Chelsea limefungwa na Mateo Kovacic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup Breakfast: Cristiano Ronaldo makes more history in dramatic
Croatia clash, Hollywood power couple enjoy Spain win, match highlights -
and what to look out for
-
Hello and welcome to Daily Mail Sport's World Cup Breakfast from day 22 at
the tournament - your one-stop shop for everything you've missed overnight
in No...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment