Kyle Walker akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 huku kiungo Pierre-Emile Hojbjerg akivuta bukta yake kwa hasira, Manchester City ikiilaza Southampton 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Southampton ilitangulia kwa bao la James Ward-Prowse dakika ya 13, kabla ya Walker kumsetia Sergio Aguero kufunga bao la kusawazisha dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup Breakfast: Beware, England! Imperious Mexico set up daunting
potential last-16 showdown against Three Lions, Kylian Mbappe breaks
ANOTHER record, match highlights - and what to look out for today
-
Hello and welcome to Daily Mail Sport's World Cup Breakfast from day 20 at
the tournament - your one-stop shop for everything you've missed overnight
in No...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment