Kyle Walker akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 huku kiungo Pierre-Emile Hojbjerg akivuta bukta yake kwa hasira, Manchester City ikiilaza Southampton 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Southampton ilitangulia kwa bao la James Ward-Prowse dakika ya 13, kabla ya Walker kumsetia Sergio Aguero kufunga bao la kusawazisha dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'These English pundits are clueless!' Micah Richards mocked as he gets his
Champions League predictions totally WRONG after Man City suffer penalty
heartbreak against Real Madrid and Arsenal crash out against Bayer Munich
-
Predicting the outcome of the Champions League quarter-finals can be a
fool's errand, as Michael Richards found out the hard way.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment