Kyle Walker akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 huku kiungo Pierre-Emile Hojbjerg akivuta bukta yake kwa hasira, Manchester City ikiilaza Southampton 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Southampton ilitangulia kwa bao la James Ward-Prowse dakika ya 13, kabla ya Walker kumsetia Sergio Aguero kufunga bao la kusawazisha dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Carrick has been set up to fail by Ineos - but it's not the first
time he's been let down by his bosses. This is the proof he's the perfect
manager for Man United's threadbare squad
-
Carrick does not quite have a full-scale rebuild on his hands at United,
but he is entitled to feel the sting of indignation about how he is being
sent int...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment