Jose Mourinho akipiga ngumi hewani kushangilia ushindi wa 4-2 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao ya Spurs yalifungwa na Dele Alli dakika ya 45, Harry Kane mawili dakika ya 50 na 77 na Serge Aurier dakika ya 73, baada ya Olympiacos kutangulia kwa mabao ya Youssef El-Arabi dakika ya sita na Ruben Semedo dakika ya 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Derek Jeter: Credit to Yankees' Aaron Judge for Betting on Himself in Contract Year
-
New York Yankees legend Derek Jeter complimented Aaron Judge for almost
certainly playing his way into a sizable paycheck this winter. Jeter said
on the...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni