Jose Mourinho akipiga ngumi hewani kushangilia ushindi wa 4-2 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao ya Spurs yalifungwa na Dele Alli dakika ya 45, Harry Kane mawili dakika ya 50 na 77 na Serge Aurier dakika ya 73, baada ya Olympiacos kutangulia kwa mabao ya Youssef El-Arabi dakika ya sita na Ruben Semedo dakika ya 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment