Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao matatu dakika za sita, 66 na 78 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Estonia usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Nathan Ake dakika ya 18 na Mryon Boadu dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle boss Eddie Howe tells Nick Pope to 'dream big and really go for it' ahead of World Cup
-
Pope is two for two for clean sheets in the league with his new club after
Saturday's stellar performance in which the away support sang 'England's No
1' w...
Dakika 24 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni