Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao matatu dakika za sita, 66 na 78 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Estonia usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Nathan Ake dakika ya 18 na Mryon Boadu dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup quarter-final draw LIVE: Arsenal, Chelsea, Liverpool and Man City to
learn their last-eight opponents alongside surprise contenders Port Vale
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest news and updates from
the quarter-final draw of the FA Cup.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment