Toni Kroos akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za 55 na 83 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Fainali za Euro 2020 Uwanja wa im BORUSSIA-PARK mjini Monchengladbach jana. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Matthias Ginter dakika ya 41 na Leon Goretzka dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Experts rule that Brian Brobbey SHOULD have been sent off against Tottenham
after causing Cristian Romero's season-ending injury
-
If Tottenham are relegated this season - few refereeing decisions will be
cursed more than Brian Brobbey escaping being sent off. A KMI panel has
ruled tha...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment