Toni Kroos akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za 55 na 83 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Fainali za Euro 2020 Uwanja wa im BORUSSIA-PARK mjini Monchengladbach jana. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Matthias Ginter dakika ya 41 na Leon Goretzka dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment