Toni Kroos akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za 55 na 83 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Fainali za Euro 2020 Uwanja wa im BORUSSIA-PARK mjini Monchengladbach jana. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Matthias Ginter dakika ya 41 na Leon Goretzka dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Thomas Tuchel's spine-tingling 'Mount Everest' speech and
presentation to England players is released for the first time - with a
huge indicator over why he snubbed Palmer, Foden and Co
-
The FA have released footage of Thomas Tuchel's maiden speech as England
boss as the FIFA World Cup edges closer.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment