Toni Kroos akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za 55 na 83 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Fainali za Euro 2020 Uwanja wa im BORUSSIA-PARK mjini Monchengladbach jana. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Matthias Ginter dakika ya 41 na Leon Goretzka dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian tennis star Nick Kyrgios defends Daniil Medvedev after he was called a loser by fans
-
Aussie tennis star Nick Kyrgios has gone to the defence of Daniil Medvedev,
slamming 'disgusting' fans for not showing respect to the world number one
afte...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni