Kocha mpya, Mreno Jose Mourinho (kushoto) na Msaidizi wake, Joao Sacramento akifuatilia mchezo wake wa kwanza Tottenham Hotspur baada ya kuchukua nafasi ya Mauricio Pochettino Spurs ikishinda 3-1 ugenini Uwanja wa London katika Ligi Kuu ya England. Mabao ya Spurs yalifungwa na Son Heung-min dakika ya 36, Lucas Moura dakika ya 43 na Harry Kane dakika ya 49 wakati ya West Ham yamefungwa na Michael Antonio dakika ya 73 na Angelo Ogbonna dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Derek Jeter: Credit to Yankees' Aaron Judge for Betting on Himself in Contract Year
-
New York Yankees legend Derek Jeter complimented Aaron Judge for almost
certainly playing his way into a sizable paycheck this winter. Jeter said
on the...
Dakika 35 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni