Kocha mpya, Mreno Jose Mourinho (kushoto) na Msaidizi wake, Joao Sacramento akifuatilia mchezo wake wa kwanza Tottenham Hotspur baada ya kuchukua nafasi ya Mauricio Pochettino Spurs ikishinda 3-1 ugenini Uwanja wa London katika Ligi Kuu ya England. Mabao ya Spurs yalifungwa na Son Heung-min dakika ya 36, Lucas Moura dakika ya 43 na Harry Kane dakika ya 49 wakati ya West Ham yamefungwa na Michael Antonio dakika ya 73 na Angelo Ogbonna dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City thrash Brighton to go second in table
-
Manchester City move to within one point of Premier League leaders Arsenal
by thrashing Brighton 4-0 at Amex Stadium.
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment