• HABARI MPYA

    Monday, November 18, 2019

    TFF YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA UAEFA KATIKA MASUALA MBALIMBALI YA SOKA

    Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (wa pili kushoto) akipokea bendera kutoka kwa Rais wa Chama cha Soka Falme za Kiarabu (UAEFA), Mhandisi Marwan Ahmad Bin Ghalita jana Dubai baada ya mazungumzo kuhusu ushirikiano juu ya masuala mbalimbali. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidau na kulia ni viongozi wengine wa UAEFA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TFF YAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA UAEFA KATIKA MASUALA MBALIMBALI YA SOKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top