Lionel Messi (kushoto) akishangilia na wenzake, Antoine Griezmann na Luis Suarez baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 wa Barcelona dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Suarez alifunga la kwanza dakika ya 29, Messi la pili dakika ya 33 na Griezmann la tatu dakika ya 67, wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Jadon Sancho dakika ya 77 na kwa ushindi huo Barcelona inatinga hatua ya 16 Bora kufuatia kufikisha pointi 11, nne zaidi ya Inter Milan wanaofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Incredible footage of Scottie Scheffler's 'elite dad move' moments after
PGA Championship win goes viral
-
Scottie Scheffler was praised for an 'elite dad move' after cameras caught
him multitasking with his baby son after winning the PGA Championship on
Sunday.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment