Wachezaji wa Chelsea wakimpongeza mwenzao Christian Pulisic baada ya kufunga bao la pili dakika ya 50 kufuatia Mateo Kovacic kufunga kufunga la kwanza dakika ya 41 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Valencia kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Carlos Soler dakika ya 40 na Daniel Wass dakika ya 82 na matokeo hayo yanazifanya timu hizo zifungane kwa pointi, nane kila moja baada ya kucheza mechi tano zikiwa nyuma ya Ajax inayoongoza kwa pointi zake 10, wakati Lille inaendelea kushika mkia na pointi yake moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League forced to move clash between Tottenham and Nottingham Forest
at 10 DAYS' notice due to train and tube strikes... as next weekend's game
is brought forward 24 hours to unusual kick-off time
-
In a statement, they said: 'The Premier League apologises unreservedly to
supporters of both Clubs, and all those affected, for the inconvenience and
disru...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment