Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao pekee la ushindi dakika ya 45 na ushei ikiilaza 1-0 Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juve sasa wanaizidi pointi sita Atletico Madrid, ambayo italazimika kuminyana na Bayer Leverkusen kuwania kuingia hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iheanacho rejects new Celtic deal for Turkey's second tier
-
Nigeria striker Kelechi Iheanacho turns down a new contract with Celtic and
joins Bursaspor, who have just been promoted to Turkey's second tier.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment