Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao pekee la ushindi dakika ya 45 na ushei ikiilaza 1-0 Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juve sasa wanaizidi pointi sita Atletico Madrid, ambayo italazimika kuminyana na Bayer Leverkusen kuwania kuingia hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FedEx St. Jude Championship 2022: Will Zalatoris Tops Sepp Straka in Wild Playoff
-
The top 70 golfers in the standings advance to the next round of the FedEx
Cup playoffs...
Dakika 41 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni