Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao pekee la ushindi dakika ya 45 na ushei ikiilaza 1-0 Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juve sasa wanaizidi pointi sita Atletico Madrid, ambayo italazimika kuminyana na Bayer Leverkusen kuwania kuingia hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheeky cat tries to steal anglers' catch in Istanbul
-
A cheeky cat tried to swipe an angler's catch from a plastic bottle in
Maltepe, Istanbul, in early July. But the little thief's plan backfired
completely.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment