Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la pili kwa penalti dakika ya 79 ikiilaza Moldova 2-1 katika mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Kiungo Vadim Rata alianza kuifungia Moldova dakika ya tisa kabla ya Raphael Varane kuisawazishia Ufaransa dakika ya 39 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 22 wakiendelea kuongoza Kundi H wakifuatiwa na Uturuki yenye pointi 20 baada ya wote kucheza mechi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NIDO Africa takes anti-trafficking campaign to Benue, pushes for NASS
legislation against complicit parents
-
As part of efforts to reduce trafficking among children to the barest
minimum in Nigeria, the Nigerians in Diaspora Organisation (NIDO) Africa,
has exten...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment