Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la pili kwa penalti dakika ya 79 ikiilaza Moldova 2-1 katika mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Kiungo Vadim Rata alianza kuifungia Moldova dakika ya tisa kabla ya Raphael Varane kuisawazishia Ufaransa dakika ya 39 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 22 wakiendelea kuongoza Kundi H wakifuatiwa na Uturuki yenye pointi 20 baada ya wote kucheza mechi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Experts rule that Brian Brobbey SHOULD have been sent off against Tottenham
after causing Cristian Romero's season-ending injury
-
If Tottenham are relegated this season - few refereeing decisions will be
cursed more than Brian Brobbey escaping being sent off. A KMI panel has
ruled tha...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment