Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la pili kwa penalti dakika ya 79 ikiilaza Moldova 2-1 katika mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Kiungo Vadim Rata alianza kuifungia Moldova dakika ya tisa kabla ya Raphael Varane kuisawazishia Ufaransa dakika ya 39 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 22 wakiendelea kuongoza Kundi H wakifuatiwa na Uturuki yenye pointi 20 baada ya wote kucheza mechi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
1 Trade Each NFL Contender Should Consider to Fill Biggest Weakness
-
Three weeks into the 2024 NFL year, and we're starting to shift our
attention from the aftermath of free agency to the draft. But general
managers should…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment