Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la pili kwa penalti dakika ya 79 ikiilaza Moldova 2-1 katika mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Kiungo Vadim Rata alianza kuifungia Moldova dakika ya tisa kabla ya Raphael Varane kuisawazishia Ufaransa dakika ya 39 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 22 wakiendelea kuongoza Kundi H wakifuatiwa na Uturuki yenye pointi 20 baada ya wote kucheza mechi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian tennis star Nick Kyrgios defends Daniil Medvedev after he was called a loser by fans
-
Aussie tennis star Nick Kyrgios has gone to the defence of Daniil Medvedev,
slamming 'disgusting' fans for not showing respect to the world number one
afte...
Dakika 6 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni