Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuwafungia mabingwa wa dunia, Ufaransa bao la pili dakika ya 31 kufuatia Corentin Tolisso kufunga la kwanza dakika ya nane katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Albania usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Arena Kombetare mjini Tirana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alec Pierce, Colts reportedly agree to 4-year, $116 million deal ahead of
free agency
-
Pierce was considered among the top available wide receivers in this year's
free agency class.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment