Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuwafungia mabingwa wa dunia, Ufaransa bao la pili dakika ya 31 kufuatia Corentin Tolisso kufunga la kwanza dakika ya nane katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Albania usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Arena Kombetare mjini Tirana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season, despite fans branding it 'woke'
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment