Mshambuliaji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la pili dakika ya 81 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Slavia Praha kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Sinobo mjini Praha. Mabao mengine ya Napoli yote yalifungwa na Lautaro Martinez dakika ya 19 na 88, wakati bao pekee la Slavia Praha lilifungwa na Tomas Soucek kwa penalti dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Will Zalatoris finally wins first PGA Tour title after INCREDIBLE fortune in the playoffs
-
Zalatoris went hit a stone wall between the green and water, and after six
bounces it somehow stayed dry, albeit wedged between the rock and soil.
Effectiv...
Dakika 24 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni