KIUNGO Mjapan, Daich Kamada (katikati) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Eintracht Frankfurt mabao mawili dakika za 55 na 64 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London, bao la wenyeji likifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle boss Eddie Howe tells Nick Pope to 'dream big and really go for it' ahead of World Cup
-
Pope is two for two for clean sheets in the league with his new club after
Saturday's stellar performance in which the away support sang 'England's No
1' w...
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni