KIUNGO Mjapan, Daich Kamada (katikati) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Eintracht Frankfurt mabao mawili dakika za 55 na 64 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London, bao la wenyeji likifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Thomas Tuchel's spine-tingling 'Mount Everest' speech and
presentation to England players is released for the first time - with a
huge indicator over why he snubbed Palmer, Foden and Co
-
The FA have released footage of Thomas Tuchel's maiden speech as England
boss as the FIFA World Cup edges closer.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment