KIUNGO Mjapan, Daich Kamada (katikati) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Eintracht Frankfurt mabao mawili dakika za 55 na 64 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London, bao la wenyeji likifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How joint forces rescued Oyo kids, killed, arrested kidnappers
-
After nearly two months in captivity, abducted schoolchildren and teachers
in Oriire community in Ogbomoso, Oyo State were rescued yesterday.
The post Ho...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment