WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kutoka kulia Innocent Haule, Said Mohamed Babesh na David Mwakalebela wakiteremka Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)1994 dhidi ya Ghana Agosti 15 mwaka 1992. Nyuma ni aliyekuwa mfadhili Abbas Gulamali (marehemu) na Kocha Msaidizi, Salum Madadi katika mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya 2-2
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment