WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kutoka kulia Innocent Haule, Said Mohamed Babesh na David Mwakalebela wakiteremka Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)1994 dhidi ya Ghana Agosti 15 mwaka 1992. Nyuma ni aliyekuwa mfadhili Abbas Gulamali (marehemu) na Kocha Msaidizi, Salum Madadi katika mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya 2-2
The 'big brother' helping Arteta's Arsenal 'over the line'
-
As Arsenal pursue a first Premier League title in 22 years, BBC Sport looks
at how the relationship between Mikel Arteta and his assistant, Gabriel
Heinze,...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment