Wachezaji wa Manchester United wakipongezana baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Partizan Belgrade mabao ya Mason Greenwood dakika ya 21, Anthony Martial dakika ya 33 na Marcus Rashford dakika ya 49 kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Ushindi huo unaifaanya Man United ifikishe poniti 10 katika mchezo wa nne na kendelea kuongoza kundi hilo ikiizidi AZ pointi mbili huku ikijihakikishia kuingia hatua ya mtoano ya micbuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Novak Djokovic leads calls for Home Office to allow Boris Becker to return
to Wimbledon - with tennis legend currently unable to return to UK
following prison sentence
-
The 24-time Grand Slam champion revealed he text the German before the
championships began to see if he would be seeing him at the All England
Club.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment