Wachezaji wa Manchester United wakipongezana baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Partizan Belgrade mabao ya Mason Greenwood dakika ya 21, Anthony Martial dakika ya 33 na Marcus Rashford dakika ya 49 kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Ushindi huo unaifaanya Man United ifikishe poniti 10 katika mchezo wa nne na kendelea kuongoza kundi hilo ikiizidi AZ pointi mbili huku ikijihakikishia kuingia hatua ya mtoano ya micbuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star makes heartbreaking confession about her baby son after doing
the unthinkable when she found out she was pregnant: 'I'm not sure I want
him'
-
Brisbane Broncos star Shannon Mato has turned her life around after
learning she was expecting in early 2025.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment