• HABARI MPYA

    Friday, November 08, 2019

    KILIMANJARO QUEENS WAKIJIFUA UHURU KUJIANDAA NA CECAFA CHALLENGE YA WANAWAKE

    Wachezaji wa kikosi cha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Queens' wakifanya mazoezi chini ya kocha wao, Bakari Shime (kulia) kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge ya Wanawake inayotarajiwa kuanza Novemba 16 hadi 24 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam 
    Kilimanjaro Queens ni mabingwa mara mbili mfululizo wa michuano hiyo ambao wamepania kutwaa taji la tatu nyumbani  
    Leo kikosi kimefanya mazoezi Uwanja wa Uhuru, lakini kambi yao ipo Azam Complex, Chamazi 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KILIMANJARO QUEENS WAKIJIFUA UHURU KUJIANDAA NA CECAFA CHALLENGE YA WANAWAKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top