Dejan Lovren akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 65 ikitoa sare ya 1-1 na Napoli iliyotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 21 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa matokeo hayo, Liverpool inaendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi zake 10, ikifuatiwa na Napoli pointi tisa, Salzburg saba na Genk yenye pointi moja inashika mkia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Will Zalatoris finally wins first PGA Tour title after INCREDIBLE fortune in the playoffs
-
Zalatoris went hit a stone wall between the green and water, and after six
bounces it somehow stayed dry, albeit wedged between the rock and soil.
Effectiv...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni