Dejan Lovren akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 65 ikitoa sare ya 1-1 na Napoli iliyotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 21 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa matokeo hayo, Liverpool inaendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi zake 10, ikifuatiwa na Napoli pointi tisa, Salzburg saba na Genk yenye pointi moja inashika mkia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup quarter-final draw LIVE: Arsenal, Chelsea, Liverpool and Man City to
learn their last-eight opponents alongside surprise contenders Port Vale
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest news and updates from
the quarter-final draw of the FA Cup.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment