Washambuliaji Marcus Rashford wa Manchester United na Harry Kane wa Tottenham Hotspur wakipongezana baada ya wote kuifungia England katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Kosovo kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Fadil Vokrri mjini Pristina. Kane alifunga dakika ya 79 na Rashford dakika ya 83, wakati mabao mengine ya 'Simba Watatu' yalifungwa na Harry Winks dakika ya 32 na Mason Mount dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why The Dolphins were forced to tape over controversial medical marijuana
sponsor logo - and how the plan came unstuck in humid Darwin conditions
-
The Dolphins have covered up their jersey sponsor, Alternaleaf, a clinic
that prescribes medical cannabis, following legal advice while the
Therapeutic Goo...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment