Washambuliaji Marcus Rashford wa Manchester United na Harry Kane wa Tottenham Hotspur wakipongezana baada ya wote kuifungia England katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Kosovo kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Fadil Vokrri mjini Pristina. Kane alifunga dakika ya 79 na Rashford dakika ya 83, wakati mabao mengine ya 'Simba Watatu' yalifungwa na Harry Winks dakika ya 32 na Mason Mount dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham advancing in move for £60m-rated Man City winger Savinho - who
has wanted to join them for a YEAR
-
Daily Mail Sport exclusively revealed last month that Spurs had resurrected
their interest in the Brazilian winger.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment