Kiungo lkay Gundogan akiifungia bao la kuongoza Manchester City dakika ya 56 katika sare ya 1-1 na Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad usiku wa jana. Bao la Shakhtar Donetsk lilifungwa na Manor Solomon dakika ya 69, lakini Man City imefanikiwa kutinga hatua ya mtoano baada ya kufikisha ponti 11 katika mchezo wa tano, ikiwazidi pointi tano Shakhtar Donetsk wanaofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian tennis star Nick Kyrgios defends Daniil Medvedev after he was called a loser by fans
-
Aussie tennis star Nick Kyrgios has gone to the defence of Daniil Medvedev,
slamming 'disgusting' fans for not showing respect to the world number one
afte...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni