Kiungo lkay Gundogan akiifungia bao la kuongoza Manchester City dakika ya 56 katika sare ya 1-1 na Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad usiku wa jana. Bao la Shakhtar Donetsk lilifungwa na Manor Solomon dakika ya 69, lakini Man City imefanikiwa kutinga hatua ya mtoano baada ya kufikisha ponti 11 katika mchezo wa tano, ikiwazidi pointi tano Shakhtar Donetsk wanaofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Thomas Tuchel's spine-tingling 'Mount Everest' speech and
presentation to England players is released for the first time - with a
huge indicator over why he snubbed Palmer, Foden and Co
-
The FA have released footage of Thomas Tuchel's maiden speech as England
boss as the FIFA World Cup edges closer.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment