Wachezaji wa Ubelgiji wakipongezana baada ya ushindi wa 6-1 dhidi ya Cyprus kwenye mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels. Mabao ya Ubelgiji yalifungwa na Christian Benteke dakika ya 16 na 67, Kevin De Bruyne dakika ya 35 na 41, Yannick Carrasco dakika ya 44 na Kypros Christoforou aliyejifunga dakika ya 51 baada ya Cyprus kutangulia kwa bao la Nicolas Ioannou dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford's rollercoaster career: A dream start with two goals in Man
United victory, campaigning against child poverty, a 12-hour tequila bender
and social media abuse
-
The forward has had a difficult season on the pitch, failing to match the
achievements of his 30-goal haul during the 2022-23 campaign, scoring eight
times...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment