Wachezaji wa Ubelgiji wakipongezana baada ya ushindi wa 6-1 dhidi ya Cyprus kwenye mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels. Mabao ya Ubelgiji yalifungwa na Christian Benteke dakika ya 16 na 67, Kevin De Bruyne dakika ya 35 na 41, Yannick Carrasco dakika ya 44 na Kypros Christoforou aliyejifunga dakika ya 51 baada ya Cyprus kutangulia kwa bao la Nicolas Ioannou dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨Newcastle 2-0 Arsenal: Gunners' Champions League hopes extinguished at St. James Park
-
Arsenal's hopes of featuring in the Champions League next season took a
major dent following a surprise 2-0 loss at Newcastle on Monday night. The
Gunners...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni