Wachezaji wa Ubelgiji wakipongezana baada ya ushindi wa 6-1 dhidi ya Cyprus kwenye mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels. Mabao ya Ubelgiji yalifungwa na Christian Benteke dakika ya 16 na 67, Kevin De Bruyne dakika ya 35 na 41, Yannick Carrasco dakika ya 44 na Kypros Christoforou aliyejifunga dakika ya 51 baada ya Cyprus kutangulia kwa bao la Nicolas Ioannou dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NIDO Africa takes anti-trafficking campaign to Benue, pushes for NASS
legislation against complicit parents
-
As part of efforts to reduce trafficking among children to the barest
minimum in Nigeria, the Nigerians in Diaspora Organisation (NIDO) Africa,
has exten...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment