Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao matatu dakika za 19, 47 na 60 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Ireland Kaskazini kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt am Main. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Leon Goretzka dakikaya 43 na 73 na Julian Brandt dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland Kaskazini lilifungwa na Michael Smith dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates NFL Mock Draft 2024: J.J. McCarthy to Vikings Among Final
Predictions
-
J.J. McCarthy has been linked to the Minnesota Vikings since the moment
they lost Kirk Cousins to the Atlanta Falcons in free agency. That doesn't
change in…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment