Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao matatu dakika za 19, 47 na 60 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Ireland Kaskazini kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt am Main. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Leon Goretzka dakikaya 43 na 73 na Julian Brandt dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland Kaskazini lilifungwa na Michael Smith dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham advancing in move for £60m-rated Man City winger Savinho - who
has wanted to join them for a YEAR
-
Daily Mail Sport exclusively revealed last month that Spurs had resurrected
their interest in the Brazilian winger.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment