Refa Aliaksei Kulbakov wa Belarus akimuonyesha kadi nyekundu kipa wa Manchester City, Claudio Bravo aliyeingia dakika ya 46 kuchukau nafasi ya for Ederson Moraes baada ya kumuangusha Josip Ilicic wa Atalanta dakika ya 81 wakati anakwenda kufunga timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Kyle Walker alikwenda kusimama langoni katika mchezo ambao Raheem Sterling alianza kuifungia Manchester City dakika ya saba kabla ya kiungo anayecheza kwa mkopo kutoka Chelsea, Mario Pasalic kuisawazishia Atalanta dakika ya 49, dakika tu baada ya Gabriel Jesus kukosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sue Bird joins Seattle Storm ownership group after starring for WNBA team
for 21 years
-
Storm owners, Force 10 Hoops, said that the 43-year-old, 13-time All-Star
joined the ownership group despite no financial details about the
transaction bei...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment