Mbrazil Roberto Firmino akishangilia na wachezaji wenzake, Waholanzi Georginio Wijnaldum na Virgil van Dijk baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 85 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Liverpool ilitangulia kwa bao la Sadio Mane dakika ya 49 kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Crystal Palace dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Larry Lloyd dead at 75: Nottingham Forest pay tribute to former England and
Liverpool defender who won two European Cups under Brian Clough
-
Former Liverpool and Nottingham Forest star Larry Lloyd, who won two
European Cups under Brian Clough, died on Thursday aged 75.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment