Mbrazil Roberto Firmino akishangilia na wachezaji wenzake, Waholanzi Georginio Wijnaldum na Virgil van Dijk baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 85 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Liverpool ilitangulia kwa bao la Sadio Mane dakika ya 49 kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Crystal Palace dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Coinbase's John D'Agostino on why tokenized equities could transform
investing
-
Scott Melker discusses tokenized equities with Coinbase (COIN) Head of
Strategy for Institutional, John D'Agostino. "The Daily Wolf with Scott
Melker" airs...
50 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment