Mbrazil Roberto Firmino akishangilia na wachezaji wenzake, Waholanzi Georginio Wijnaldum na Virgil van Dijk baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 85 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Liverpool ilitangulia kwa bao la Sadio Mane dakika ya 49 kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Crystal Palace dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police arrest social media influencer for raising false security alarm in
Akwa Ibom
-
Akwa Ibom police arrested a social media influencer for raising a false
security alarm about a bandit invasion that sparked widespread panic among
reside...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment