Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Argentina bao pekee dakika ya 13 akimalizia mpira uliookolewa na kipa Allison, baada ya yeye mwenyewe kupiga penalti akitoka kuangushwa na beki Alex Sandro katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brazil usiku wa jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Mfalme Saud mjini Riyadh. Brazil pia walikosa penalti ndani ya dakika 10 za mwanzo baada ya Gabriel Jesus kupiga juu ya lango katika mchezo ambao Messi alikuwa anaichezea Argentina kwa mara ya kwanza tangu dhidi ya Chile Julai PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Derek Jeter: Credit to Yankees' Aaron Judge for Betting on Himself in Contract Year
-
New York Yankees legend Derek Jeter complimented Aaron Judge for almost
certainly playing his way into a sizable paycheck this winter. Jeter said
on the...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni