Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Argentina bao pekee dakika ya 13 akimalizia mpira uliookolewa na kipa Allison, baada ya yeye mwenyewe kupiga penalti akitoka kuangushwa na beki Alex Sandro katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brazil usiku wa jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Mfalme Saud mjini Riyadh. Brazil pia walikosa penalti ndani ya dakika 10 za mwanzo baada ya Gabriel Jesus kupiga juu ya lango katika mchezo ambao Messi alikuwa anaichezea Argentina kwa mara ya kwanza tangu dhidi ya Chile Julai PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernandez to miss rest of season after operation
-
Chelsea midfielder Enzo Fernandez will miss the rest of the season after
undergoing successful surgery on a groin issue.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment