Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Argentina bao pekee dakika ya 13 akimalizia mpira uliookolewa na kipa Allison, baada ya yeye mwenyewe kupiga penalti akitoka kuangushwa na beki Alex Sandro katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brazil usiku wa jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Mfalme Saud mjini Riyadh. Brazil pia walikosa penalti ndani ya dakika 10 za mwanzo baada ya Gabriel Jesus kupiga juu ya lango katika mchezo ambao Messi alikuwa anaichezea Argentina kwa mara ya kwanza tangu dhidi ya Chile Julai PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL quarterback who went AWOL over contract talks makes a huge decision
amid ongoing standoff
-
After avoiding his return to the team due to a contract dispute, Arizona
Cardinals quarterback Jacoby Brissett will finally show up at his team's
mandatory...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment