Refa akimuondoa bondia Mmarekani Deontay Wilder (kushoto) baada ya kumuangusha mpinzani wake, Mcuba Luis Ortiz raundi ya saba ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas na kufanikiwa kutetea taji lake la WBC uzito wa juu kwa ushindi wa Knockout (KO). Hiyo ilikuwa mara ya pili Wilder anamshinda Ortiz baada ya awali kumpiga kwa KO pia Mei mwaka jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou praises 'brave' Richarlison for opening up on his mental
health struggles - and believes the Tottenham forward's emotional interview
can be a 'conduit for others to reach out for help'
-
The Brazilian, who joined Spurs from Everton in 2022 for £60million,
revealed in a tearful interview earlier this week that he had suffered from
depression...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment