Refa akimuondoa bondia Mmarekani Deontay Wilder (kushoto) baada ya kumuangusha mpinzani wake, Mcuba Luis Ortiz raundi ya saba ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas na kufanikiwa kutetea taji lake la WBC uzito wa juu kwa ushindi wa Knockout (KO). Hiyo ilikuwa mara ya pili Wilder anamshinda Ortiz baada ya awali kumpiga kwa KO pia Mei mwaka jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FedEx St. Jude Championship 2022: Will Zalatoris Tops Sepp Straka in Wild Playoff
-
The top 70 golfers in the standings advance to the next round of the FedEx
Cup playoffs...
Dakika 25 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni