Mshambuliaji Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 66 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Andreas Pereira dakika ya 17 na Davy Propper aliyejifunga dakika ya 19, wakati la Brighton limefungwa na Lewis Dunk PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dak Prescott Rumors: QB's Stance on Contract Revealed as Cowboys Deny False
Narrative
-
Despite not having a sense of urgency to get a contract extension done with
Dak Prescott, the Dallas Cowboys aren't necessarily looking to move on from
their…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment