Mshambuliaji Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 66 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Andreas Pereira dakika ya 17 na Davy Propper aliyejifunga dakika ya 19, wakati la Brighton limefungwa na Lewis Dunk PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC accuses schools, supervisors of extorting candidates in ongoing WASSCE
-
By Gabriel Dike The West African Examinations Council (WAEC) on Monday said
it received alarming reports of supervisors and some schools extorting
candid...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment