Dele Alli akipongezwa na Heung-Min Son baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 21 na 50 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Bao lingine la Spurs iliyo chini ya kocha Mreno, Jose Mournho limefungwa na Moussa Sissoko dakika ya 69, wakati ya Bournemouth yamefungwa na Harry Wilson dakika ya 73 na 90 na ushei baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Ryan Fraser dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham advancing in move for £60m-rated Man City winger Savinho - who
has wanted to join them for a YEAR
-
Daily Mail Sport exclusively revealed last month that Spurs had resurrected
their interest in the Brazilian winger.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment