Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao manne dakika za 53 kwa penalti, 60, 64, 67 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Rajko Mitic mjini Belgrade, mabao mengine yakifungwa na Leon Goretzka dakika ya 14 na Corentin Tolisso dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Logan Paul admits he had 'suicidal thoughts' amid fallout from $2.3million
CryptoZoo scandal in 2022... revealing he was 'spiraling and sobbing' while
on vacation with his fiancée Nina Agdal
-
Logan Paul has admitted to battling suicidal thoughts in 2022 as his crypto
video game was embroiled in a $2.3 million scandal amid accusations of
fraud.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment