Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao manne dakika za 53 kwa penalti, 60, 64, 67 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Rajko Mitic mjini Belgrade, mabao mengine yakifungwa na Leon Goretzka dakika ya 14 na Corentin Tolisso dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian tennis star Nick Kyrgios defends Daniil Medvedev after he was called a loser by fans
-
Aussie tennis star Nick Kyrgios has gone to the defence of Daniil Medvedev,
slamming 'disgusting' fans for not showing respect to the world number one
afte...
Dakika 7 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni