Wachezaji wa Arsenal wakirejea katikati kinyonge baada ya Raul Jimenez kuisawazishia Wolverhampton Wanderers dakika ya 76 kufuatia wenyeji kutangulia kwa bao la Pierre-Emerick Aubameyang dakika ta 21 katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chargers GM Eyes More Than 'Fair Trade' to Deal No. 5 Pick in 2024 NFL Draft
-
The Los Angeles Chargers could be willing to give up their No. 5 pick in
next week's NFL draft, but general manager Joe Hortiz wants more than just
a "fair…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment