Jonjo Shelvey akipiga shuti kuifungia bao la kusawazisha Newcastle United dakika ya 88 katika sare ya 2-2 na Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park. Bao la kwanza la Newcastle limefungwa na Jetro Willems dakika ya 25, wakati ya Manchester City yamefungwa na Raheem Sterling dakika ya 22 na Kevin De Bruyne dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment