Jonjo Shelvey akipiga shuti kuifungia bao la kusawazisha Newcastle United dakika ya 88 katika sare ya 2-2 na Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park. Bao la kwanza la Newcastle limefungwa na Jetro Willems dakika ya 25, wakati ya Manchester City yamefungwa na Raheem Sterling dakika ya 22 na Kevin De Bruyne dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup quarter-final draw LIVE: Arsenal, Chelsea, Liverpool and Man City to
learn their last-eight opponents alongside surprise contenders Port Vale
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest news and updates from
the quarter-final draw of the FA Cup.
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment