Jonjo Shelvey akipiga shuti kuifungia bao la kusawazisha Newcastle United dakika ya 88 katika sare ya 2-2 na Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park. Bao la kwanza la Newcastle limefungwa na Jetro Willems dakika ya 25, wakati ya Manchester City yamefungwa na Raheem Sterling dakika ya 22 na Kevin De Bruyne dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vince McMahon Sells Final TKO Shares for $776M+ to End WWE Ties After 50+
Years
-
WWE co-founder Vince McMahon is ending his association with the promotion
after 55 years with the sale of his 8.02 million TKO Group Holdings shares,
which…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment