Ciro Immoble akishangilia baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika ya nane na 33 katika ushindi wa 9-1 dhidi ya Armenia kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Renzo Barbera mjini Palermo. Mabao mengine ya Italia yalifungwa na Nicolo Zaniolo dakika ya tisa na 64, Nicolo Barella dakika ya 29, Alessio Romagnoli dakika ya 72, Jorginho kwa penalti dakika ya 75, Riccardo Orsolini dakika ya 77 na Federico Chiesa dakika ya 81, wakati bao pekee la Armenia limefungwa na Edgar Babayan dakika ya 79. Kwa ushindi huo, Italia ambayo tayari imekwishafuzu Euro ya mwakani, inafikisha pointi 30 katika mchezo wa 10, sasa wakiizidi pointi 12 Finland inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Thomas Tuchel's spine-tingling 'Mount Everest' speech and
presentation to England players is released for the first time - with a
huge indicator over why he snubbed Palmer, Foden and Co
-
The FA have released footage of Thomas Tuchel's maiden speech as England
boss as the FIFA World Cup edges closer.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment