Ciro Immoble akishangilia baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika ya nane na 33 katika ushindi wa 9-1 dhidi ya Armenia kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Renzo Barbera mjini Palermo. Mabao mengine ya Italia yalifungwa na Nicolo Zaniolo dakika ya tisa na 64, Nicolo Barella dakika ya 29, Alessio Romagnoli dakika ya 72, Jorginho kwa penalti dakika ya 75, Riccardo Orsolini dakika ya 77 na Federico Chiesa dakika ya 81, wakati bao pekee la Armenia limefungwa na Edgar Babayan dakika ya 79. Kwa ushindi huo, Italia ambayo tayari imekwishafuzu Euro ya mwakani, inafikisha pointi 30 katika mchezo wa 10, sasa wakiizidi pointi 12 Finland inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside LeBron James's family feud with new Philadelphia 76ers teammate amid
the bombshell move that rocked the NBA
-
The 41-year-old, who left the Lakers after eight seasons, admitted he
thought he had played his final game, but has decided instead to sign a
two-year deal...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment