Oli McBurnie akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Sheffield United bao la kusawazisha dakika ya 90 katika sare ya 3-3 na Manchester United usiku wa leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Bramall Lane, Sheffield. Hiyo ni baada ya Sheffield United kutangulia kwa mabao ya John Fleck dakika ya 19 na Lys Mousset dakika ya 52, kabla ya Man United kusawazisha kwa mabao ya Brandon Williams dakika ya 72 na Mason Greenwood dakika ya 77 na Marcus Rashford kufunga la tatu dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup quarter-final draw LIVE: Arsenal, Chelsea, Liverpool and Man City to
learn their last-eight opponents alongside surprise contenders Port Vale
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest news and updates from
the quarter-final draw of the FA Cup.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment