Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wake wa kwanza wa Robo ya Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi B dhidi ya ASEC Mimosa ya Ivory Coast Novemba 8, mwaka 1998 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam uliomalizika kwa wageni kushinda 3-0. Kutoka kulia waliosimama ni Salvatory Edward, Banza Tshikala, Edibily Lunyamila, Manyika Peter, Idelphonce Amlima na Alphonce Modest. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Monja Liseki, Mohammed Hussein ‘Mmachinga’, Shaaban Ramadhani, Mzee Abdallah ‘National’ na John Jacob Mwansasu. Yanga SC walilazimika kuvaa jezi za Taifa Stars kutokana na jezi zao pekee walizokuwa nazo (njano) kufanana na za wageni.
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment