Gerard Moreno akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Hispania dakika za 33 na 43 ikiilaza 5-0 Romania kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Estadio Wanda Metropolitano mjini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Fabian Ruiz dakika ya nane, Adrian Rus aliyejifunga dakika ya 45 na Mikel Oyarzabal dakika ya 90 na ushei na sasa wanafikisha pointi 26 katika mchezo wa 10 wakiendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi tano zaidi ya Sweden wanaofuatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian Eriksen speaks out on his shocking collapse as he is discharged
from hospital - and says it was 'very different from 2021' - as Danish
pundit tells him: Retire for your wife's sake
-
Christian Eriksen has been discharged from hospital. In a statement
released this afternoon he said: 'Receiving a shock from my ICD has had a
major impact'.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment