Karim Benzema akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 17 na 29 kwa penalti katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Sergio Ramos dakika ya 20 kwa penalti na Federico Valverde dakika ya 61 na kwa ushindi huo kikosi cha kocha Zinadine Zidane kinapanda kileleni katika La Liga, kikifikisha pointi 25, tatu zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Novak Djokovic leads calls for Home Office to allow Boris Becker to return
to Wimbledon - with tennis legend currently unable to return to UK
following prison sentence
-
The 24-time Grand Slam champion revealed he text the German before the
championships began to see if he would be seeing him at the All England
Club.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment