Beki wa zamani wa Manchester City, Danilo akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la tatu dakika ya 60 ikiilaza Jamhuri ya Korea 3-0 katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Mohammed Bin Zayed mjini Abu Dhabi. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Lucas Paqueta dakika ya tisa na Philippe Coutinho dakika ya 36, huo ukiwa ushindi wa kwanza kwao tangu Julai mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FedEx St. Jude Championship 2022: Will Zalatoris Tops Sepp Straka in Wild Playoff
-
The top 70 golfers in the standings advance to the next round of the FedEx
Cup playoffs...
Dakika 36 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni