Kipa Mjerumani wa Liverpool, Loris Karius akiwa amekasirika baada ya kufungwa mabao ya kizembe katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Prenton Park timu yake ikishinda 3-2 dhidi ya wenyeji, Tranmere Rovers. Karius aliyefungwa kizembe kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Real Madrid kwa makosa ya jana, wazi ana shughuli pevu kuendelea kuwa kipa wa kwanza wa timu. Mabao ya Wekundu hao jana yalifungwa na Rafael Camacho, Sheyi Ojo na Adam Lallana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Park cricketer's gruelling day with bat in hand to raise funds for Beyond
Blue
-
A local Victorian cricketer has turned heads after batting for 12 hours
straight to raise money for mental health charity Beyond Blue.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment