Rais wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Phares Magesa (kulia) akiwa na nyota wa mchezo huo, Mtanzania Hasheem Thabeet (katikati) anayechezea klabu ya Yokohama B-Corsairs ya Japan leo wakati wa mazoezi ya timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 18 (U18) viwanja vya JMK Park mjini Dar es Salaam, ambako timu za wanawake na wanaume zinajiandaa kwa michuano ya FIBA Kanda ya Tano inayotarajiwa kuanza Juni 17 hadi 22 Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.
Ulster decider has 'healthy dollop of rivalry' - McConville
-
Former Armagh All-Ireland winner Oisin McConville is predicting the county
will deliver a first Ulster Championship since 2008 this season.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment