// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MOURINHO ATUNGULIWA PENALTI ZOTE MECHI YA HISANI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMOURINHO ATUNGULIWA PENALTI ZOTE MECHI YA HISANI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MOURINHO ATUNGULIWA PENALTI ZOTE MECHI YA HISANI ENGLAND
Kipa wa Team Shearer, Jose Mourinho akiruka kuokoa bila mafanikio moja ya mikwaju ya penalti katika mchezo wa kirafiki wa Hisani dhidi ya Team Ferdinandi leo Uwanja wa Loftus Road leo maalum kuchangisha fedha za kuwasaidia wahanga wa ajali ya moto ya Grenfell Juni mwaka huu. Team Ferdinand imeshinda kwa penalti 5-3 baada ya sare ya 2-2 maana yake Mournho alishindwa kuokoa hata mkwaju mmoja. Mabao ya Team Ferdinand yamefungwa na mwanariadha bingwa wa Olimpiki, Mo Farah na Chris Edwards wakati ya Team Shearer yamefungwa na Trevor SinclairPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment