Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Simon Sirro akipokea Kombe la ushindi wa tatu kutoka kwa Inspekta Hashim Abdallah wakati wa mapokezi ya wanamichezo wa jeshi hilo waliokuwa wakishiriki Michezo ya Majeshi ya Polisi kwa nchi za Afrika Mashariki (EAPCCO Games) nchini Uganda wiki iliyopita
IGP Simon Sirro akimpongeza
Mwanariadha wa Polisi, PC Basili John baada ya kushinda medali ya Dhahabu katika
Michezo ya EAPCCO
IGP Simon Sirro akimpongeza Koplo Gaston Komba baada ya kushinda medali ya shaba kwenye Taikwondo katika Michezo ya EAPCCO
IGP Simon Sirro akiwa na viongozi wengine na wanamichezo wa Polisi walioshiriki katika michezo ya EAPCCO wiki iliyopita nchini Uganda
Shock Jannik Sinner health rumour sweeps the Australian Open - and it could
have a HUGE effect on his clash with Alex de Minaur
-
Sinner was caught in worrying scenes as he shook uncontrollably during his
win over Holger Rune on Monday - leading to talk that he is hiding a
serious hea...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment