Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Simon Sirro akipokea Kombe la ushindi wa tatu kutoka kwa Inspekta Hashim Abdallah wakati wa mapokezi ya wanamichezo wa jeshi hilo waliokuwa wakishiriki Michezo ya Majeshi ya Polisi kwa nchi za Afrika Mashariki (EAPCCO Games) nchini Uganda wiki iliyopita
IGP Simon Sirro akimpongeza
Mwanariadha wa Polisi, PC Basili John baada ya kushinda medali ya Dhahabu katika
Michezo ya EAPCCO
IGP Simon Sirro akimpongeza Koplo Gaston Komba baada ya kushinda medali ya shaba kwenye Taikwondo katika Michezo ya EAPCCO
IGP Simon Sirro akiwa na viongozi wengine na wanamichezo wa Polisi walioshiriki katika michezo ya EAPCCO wiki iliyopita nchini Uganda
Anthony Joshua vs Kristian Prenga LIVE: AJ returns to ring after car crash
against little-known knockout artist - as he bids to set up long-awaited
clash with Tyson Fury
-
Follow Daily Mail Sport's live blog as Anthony Joshua faces Kristian Prenga
in Jeddah, Saudi Arabia, in a bid to set up a long-awaited clash with Tyson
Fury.
10 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment